Breaking News

BREAKING: MWABUKUSI ASHINDA URAIS TLS

Dodoma
Boniface Kajunjumele Mwabukusi amechaguliwa kuwa Rais wa chama cha wanasheria cha Tanganyika (TLS).

Chini ya sheria mpya, Mwabukusi atadumu kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitatu badala ya mwaka mmoja wa awali.