Breaking News

KOREA KASKAZINI IMESHUTUMIWA KUFANYA MAJARIBIO MAKOMBORA YAKE MAWILI,




korea  kusini imesema  kuwa majiani zao  Korea kaskazini  kwa mara  nyingine  tena  wamefanyia majaribio makombora  yake mawili,  hivyo kuonyesha wazi  kukiuka  hatua ya umoja wa mataifa  kuwekea vikwazo  vya kiuchumi, Taarifa  zinazoonyesha  kuwa kombora la kwanza halikufanikiwa  huku kombora la pili  likisafiri umbali wa kilomita Mia nne.
Msemajiwa waziri umoja wa korea kusini JOENG  JOON HEE amesema  majaribio hayo  ni kukiuka vikwazo ambavyo imewekewa nchi hiyo na baraza la usalama la umoja wa mataifa.
Amesema ni vema  ulipuaji ya makombora  kwa kutumia  teknolojia ya angani  inakiuka maadhimio ya  umoja na mataifa  pia ni uchokozi  dhidi yao,
Ameshauri ni vyema  kwa korea kaskazini kuzidisha nguvu katika  kuimarisha  amani  katika eneo la rasi ya korea pamoja na kwa maisha  watu wake.

Waziri Mkuu wa Japana, Shinzo Abe,

Naye waziri mkuu wa Japani SHINZA ABE amelaani hatua hiyo ya korea kaskazin, Kitendo cha  leo kulipuliwa kwa makombora  kwa kutumia teknolojia  ya angani  iliyotumika zamani  huu ni ukiukwaji wawazi wa Azimio la baraza usalama la umoja wa mataifa , hivyo nchi yake haitauhusu kufanyika kwa tukio hilo na ataandaa Azimio la kupinga  hatua hiyo  amesema waziri huyo,