Breaking News

ADC Yatangaza Majina Yaliyopitishwa Kugombea Nafasi za Ubunge Tanzania Bara

Katibu mkuu wa chama cha ADC,  Bw. Doyo Hassan Doyo akifafanua jambo wakati akitangaza majina 23 ya wagombe wa nafasi za ubunge Tanzania Bara waliopitishwa na chama hicho.