Breaking News

NCHIMBI KUMJULIA HALI RAIS MSTAAFU AMANI KARUME

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume, katika makazi yake, Mbweni - Unguja Zanzibar.