Breaking News

DK. MWAKYEMBE AKITOA ANGALIZO KWA VYOMBO VYA HABARI LEO MJINI DODOMA

KYE1 
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na Waandishi wa Habari leo Mjini Dodoma kuhusu maadili ya Vyombo vya Habari katika kuhabarisha Umma juu ya miradi ya maendeleo na jinsi vinavyoweza kuwasidia wananchi kuleta maendeleo na kuepuka kutoa taarifa za upotoshaji.
KYE2 
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe na Vyombo vya Habari leo Mjini Dodoma.
(Picha Zote na Frank Mvungi – MAELEZO – Dodoma)