PSPF YAKUTANA NA KUFANYA KIKAO NA WANACHAMA WAO MANYARA- MKOANI BABATI
Mwakilishi
wa Katibu Tawalawa mkoa wa Manyara Bw.Longino Kazimoto (katikati),
akifungua kikao cha pamoja kati ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, na
wanachama wake wa mkoa wa Manyara. Mkutano huo ambao uliandaliwa na PSPF
katika utaratibu wake wa kukutana na wanachama wake katika maeneo
mbalimbali ya nchi kwa lengo la kujadiliana namna bora ya kuboresha
huduma na bidhaa ambazo PSPF inazitoa kwa wateja ulifanyiki mjini
Babati.
Afisa
Mfadhiwi wa PSPF mkoa wa Manyara Bw. Said Ismail, akitoa hotuba wakati
wa kikao cha pamoja kati ya PSPF na wanachama wake wa mkoani Manyara
kilichofanyika mjini Babati. PSPF inautaratibu wa kukutana na wanachama
wake katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa lengo la kujadiliana namna
bora ya kuboresha huduma na bidhaa ambazo PSPF inazitoa kwa
wateja.Wengine pichani ni Mwakilishi wa Katibu Tawalawa mkoa wa Manyara
Bw.Longino Kazimoto (katikati) na na Meneja wa Huduma kwa wateja wa PSPF
Bi. Laila Maghimbi
Meneja
wa Huduma kwa wateja wa PSPF Bi. Laila Maghimbi akizungumza wakati wa
kikao cha pamoja na wanachama hao wakati wa semina hiyo.




