MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA
Bi Julie Mkulo Anasikitika kutangaza kifo cha mume wake Bw. Mustafa Mkulo kilichotokea Leo 04-05-2024 Katika hospital ya Muhimbili Dar es salaam
Shughuli zote za mazishi zitakuwa Msikiti Maamur 04-05-2024 na Maziko yatakuwa Jumapili 05-05-2024 Kilosa Morogoro
Taarifa zaidi zitatolewa baadae
Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon
Pumzika kwa amani Mustafa Haidi Mkulo, Waziri wa zamani wa Fedha na Mbunge wa zamani wa Kilosa.




