Breaking News

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YAADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI 2016 KWA KUSIKILIZA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO WAFANYAKAZI WA WIZARA HIYO.

mabu1  
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Dkt. Yamungu Kayandabila akisisitiza jambo kwa watumishi wa wizara hiyo, alipokutana nao katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016. Dkt Yamungu alipokea kero mbalimbali kutoka kwa watumishi hao pamoja na kuzitafutia ufumbuzi ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi.
mabu2 
  Baadhi ya watumishi na watendaji wa Wizara ya Ardhi, wakimsikiliza Katibu Mkuu Dtk. Yamungu akijibu hoja mbalimbali zilizowasilishwa kwake na watumishi hao kama sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016.
mabu3 
 Mtumishi Beatus Kashangaki akitoa kero zake kwa Katibu Mkuu Dkt. Yamungu Kayandabila wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016.