WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya
Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza leo
tarehe 26 Januari, 2026 mkoani Iringa wakati akifunga mafunzo ya siku tatu ya watendaji
wa uchaguzi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na
Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe.(Picha na INEC).
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya
Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza leo
tarehe 26 Januari, 2026 mkoani Iringa wakati akifunga mafunzo ya siku tatu ya watendaji
wa uchaguzi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na
Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe.
Meza Kuu ikiongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele ikiwa katika ufungaji wa mafunzo hayo.
Washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi kutoka
Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na Halmashauri ya Wilaya ya
Mbozi, mkoani Songwe wakifuatilia hotuba ya ufungaji mafunzo yao ya siku tatu.
Washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe wakifuatilia hotuba ya ufungaji mafunzo yao ya siku tatu.
Washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe wakifuatilia hotuba ya ufungaji mafunzo yao ya siku tatu.
Sehemu ya wajumbe wa Menejiment ya INEC ikiwa katika ufungaji wa mafunzo hayo.
Washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe wakifuatilia hotuba ya ufungaji mafunzo yao ya siku tatu.
Washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi kutoka Halmashauri za Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma na Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe wakifuatilia hotuba ya ufungaji mafunzo yao ya siku tatu.
Sehemu ya wajumbe wa Menejiment ya INEC ikiwa katika ufungaji wa mafunzo hayo.
Na. Mwandishi Wetu, Iringa - Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kutekeleza
majukumu yao kwa ufanisi na weledi ili kufanikisha uchaguzi mdogo wa ubunge
katika Jimbo la Peramiho na udiwani katika Kata ya Shiwinga unaotarajiwa
kufanyika tarehe 26 Februari, 2026.




